Waamuzi 18:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Wakaliita jiji hilo Dani+ sawa na jina la baba yao, Dani, mtoto wa Israeli.+ Lakini mwanzoni jiji hilo liliitwa Laishi.+ 2 Samweli 17:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Natoa ushauri huu: Waisraeli wote na wakusanyike kwako, kuanzia Dani mpaka Beer-sheba,+ wengi kama chembe za mchanga kwenye ufuo wa bahari,+ nawe uwaongoze vitani.
29 Wakaliita jiji hilo Dani+ sawa na jina la baba yao, Dani, mtoto wa Israeli.+ Lakini mwanzoni jiji hilo liliitwa Laishi.+
11 Natoa ushauri huu: Waisraeli wote na wakusanyike kwako, kuanzia Dani mpaka Beer-sheba,+ wengi kama chembe za mchanga kwenye ufuo wa bahari,+ nawe uwaongoze vitani.