-
2 Wafalme 21:18, 19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Kisha Manase akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake katika bustani ya nyumba yake, katika bustani ya Uza;+ na Amoni mwanawe akawa mfalme baada yake.
19 Amoni+ alikuwa na umri wa miaka 22 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka miwili huko Yerusalemu.+ Mama yake aliitwa Meshulemethi binti ya Haruzi kutoka Yotba.
-