2 Wafalme 21:25, 26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na mambo mengine katika historia ya Amoni, mambo aliyofanya, je, hayajaandikwa katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Yuda? 26 Kwa hiyo wakamzika katika kaburi lake katika bustani ya Uza,+ na Yosia mwanawe+ akawa mfalme baada yake.
25 Na mambo mengine katika historia ya Amoni, mambo aliyofanya, je, hayajaandikwa katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Yuda? 26 Kwa hiyo wakamzika katika kaburi lake katika bustani ya Uza,+ na Yosia mwanawe+ akawa mfalme baada yake.