1 Mambo ya Nyakati 26:12, 13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Katika vikundi hivyo vya walinzi wa malango, viongozi walikuwa na kazi kama za ndugu zao, kuhudumu katika nyumba ya Yehova. 13 Kwa hiyo walipiga kura,+ mdogo sawa na mkubwa kulingana na koo zao,* kwa ajili ya malango mbalimbali.
12 Katika vikundi hivyo vya walinzi wa malango, viongozi walikuwa na kazi kama za ndugu zao, kuhudumu katika nyumba ya Yehova. 13 Kwa hiyo walipiga kura,+ mdogo sawa na mkubwa kulingana na koo zao,* kwa ajili ya malango mbalimbali.