Danieli 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi nikageuza uso wangu kumwelekea Yehova Mungu wa kweli, nikimsihi katika sala, pamoja na kufunga+ na kuvaa nguo za magunia na kujimwagia majivu. Danieli 9:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ee Yehova, sikia. Ee Yehova, samehe.+ Ee Yehova, sikiliza kwa makini na uchukue hatua. Usikawie, kwa ajili yako mwenyewe, Ee Mungu wangu, kwa maana jiji lako na watu wako wameitwa kwa jina lako mwenyewe.”+
3 Basi nikageuza uso wangu kumwelekea Yehova Mungu wa kweli, nikimsihi katika sala, pamoja na kufunga+ na kuvaa nguo za magunia na kujimwagia majivu.
19 Ee Yehova, sikia. Ee Yehova, samehe.+ Ee Yehova, sikiliza kwa makini na uchukue hatua. Usikawie, kwa ajili yako mwenyewe, Ee Mungu wangu, kwa maana jiji lako na watu wako wameitwa kwa jina lako mwenyewe.”+