9 Kwa maana macho ya Yehova yanaenda huku na huku duniani kote+ ili adhihirishe nguvu zake* kwa niaba ya wale ambao moyo wao ni kamili* kumwelekea yeye.+ Umetenda kwa upumbavu katika jambo hili; kuanzia sasa na kuendelea kutakuwa na vita dhidi yako.”+
17 Tega sikio lako, Ee Yehova, usikie!+ Fungua macho yako, Ee Yehova, uone!+ Sikia maneno yote ambayo Senakeribu amesema ili kukudhihaki wewe Mungu uliye hai.+