28 Farasi wa Sulemani waliletwa kutoka Misri, na wafanyabiashara wa mfalme walinunua makundi ya farasi kwa bei moja.+ 29 Kila gari kutoka Misri lilinunuliwa kwa vipande 600 vya fedha, na farasi alinunuliwa kwa vipande 150; kisha waliwauzia wafalme wote wa Wahiti+ na wafalme wa Siria.