8 Kwa hiyo, ghadhabu ya Yehova ikaja dhidi ya watu wa Yuda na Yerusalemu,+ hivi kwamba akawafanya kuwa kitu cha kutisha na cha kushangaza na kitu cha kupigiwa mluzi,* kama mnavyoona kwa macho yenu wenyewe.+
12 Umetimiza maneno uliyosema dhidi yetu+ na dhidi ya watawala wetu waliotutawala,* kwa kutuletea msiba mkubwa; hakuna jambo lililowahi kufanywa chini ya mbingu zote kama jambo lililofanywa Yerusalemu.+