30 Lakini Mfalme Sihoni wa Heshboni hakuturuhusu tupite, kwa sababu Yehova Mungu wenu alimwacha awe na roho ya ukaidi+ na moyo wake uwe mgumu, ili amtie mikononi mwenu kama ilivyo leo.+
14 Ndipo Absalomu na wanaume wote wa Israeli wakasema: “Ushauri wa Hushai Mwarki ni bora+ kuliko ushauri wa Ahithofeli!” Kwa maana Yehova alikuwa ameazimia* kuvuruga ushauri mzuri wa Ahithofeli,+ ili Yehova amletee msiba Absalomu.+