10 Yehova akawavuruga,+ na Waisraeli wakawaangamiza wengi wao kule Gibeoni, wakawafuatia kwenye njia inayopanda kwenda Beth-horoni na kuwaua mpaka Azeka na Makeda.
7 majeshi ya mfalme wa Babiloni yalipokuwa yakishambulia Yerusalemu na majiji yote ya Yuda yaliyobaki,+ yakishambulia Lakishi+ na Azeka;+ kwa maana hayo ndiyo majiji pekee ya Yuda yenye ngome yaliyobaki.