2 Mambo ya Nyakati 33:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova aliendelea kuzungumza na Manase na watu wake, lakini hawakumsikiliza.+ 2 Mambo ya Nyakati 33:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Alipokuwa akiteseka, alimsihi* Yehova Mungu wake amwonyeshe kibali, naye akaendelea kujinyenyekeza sana mbele za Mungu wa mababu zake.
12 Alipokuwa akiteseka, alimsihi* Yehova Mungu wake amwonyeshe kibali, naye akaendelea kujinyenyekeza sana mbele za Mungu wa mababu zake.