2 Mambo ya Nyakati 9:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na mambo mengine katika historia ya Sulemani,+ kuanzia mwanzo mpaka mwisho, je, hayajaandikwa katika maandishi ya nabii Nathani,+ katika unabii wa Ahiya+ Mshilo, na katika kumbukumbu ya maono ya mwonaji Ido+ kumhusu Yeroboamu+ mwana wa Nebati? 2 Mambo ya Nyakati 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na mambo mengine katika historia ya Abiya, mambo aliyotenda na kusema, yameandikwa katika maandishi ya* nabii Ido.+
29 Na mambo mengine katika historia ya Sulemani,+ kuanzia mwanzo mpaka mwisho, je, hayajaandikwa katika maandishi ya nabii Nathani,+ katika unabii wa Ahiya+ Mshilo, na katika kumbukumbu ya maono ya mwonaji Ido+ kumhusu Yeroboamu+ mwana wa Nebati?
22 Na mambo mengine katika historia ya Abiya, mambo aliyotenda na kusema, yameandikwa katika maandishi ya* nabii Ido.+