1 Wafalme 14:30, 31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kulikuwa na vita daima kati ya Rehoboamu na Yeroboamu.+ 31 Kisha Rehoboamu akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi.+ Mama yake aliitwa Naama, naye alikuwa Mwamoni.+ Na Abiyamu* mwana wake+ akawa mfalme baada yake.
30 Kulikuwa na vita daima kati ya Rehoboamu na Yeroboamu.+ 31 Kisha Rehoboamu akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi.+ Mama yake aliitwa Naama, naye alikuwa Mwamoni.+ Na Abiyamu* mwana wake+ akawa mfalme baada yake.