28 Baada ya kushauriana, mfalme akatengeneza ndama wawili wa dhahabu+ na kuwaambia watu: “Inachosha sana kwenu kupanda kwenda Yerusalemu. Ndiye huyu hapa Mungu wenu, enyi Waisraeli, aliyewatoa nchini Misri.”+
15 Kisha Yeroboamu akawaweka makuhani wake mwenyewe ili wahudumu mahali pa juu+ na kuwatumikia roho waovu wenye umbo la mbuzi*+ na ndama aliokuwa ametengeneza.+