2 Yehu+ mwana wa mwonaji Hanani+ alienda kukutana na Mfalme Yehoshafati na kumuuliza: “Je, unapaswa kuwasaidia waovu,+ na je, unapaswa kuwapenda wale wanaomchukia Yehova?+ Kwa sababu hiyo ghadhabu ya Yehova iko dhidi yako.
34 Na mambo mengine katika historia ya Yehoshafati, kuanzia mwanzo mpaka mwisho, yameandikwa katika maandishi ya Yehu+ mwana wa Hanani,+ yaliyotiwa katika Kitabu cha Wafalme wa Israeli.