19 na pia majiji yote ya Sulemani yenye maghala, majiji ya magari ya vita,+ majiji ya wapanda farasi, na chochote ambacho Sulemani alitamani kujenga huko Yerusalemu, Lebanoni, na katika nchi yote iliyokuwa chini ya mamlaka yake.
3 Isitoshe, Sulemani alienda Hamath-soba na kuliteka jiji hilo. 4 Kisha akajenga tena jiji la Tadmori kule nyikani na majiji yote yenye maghala+ aliyokuwa amejenga Hamathi.+