Isaya 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Yehova amemmwagia roho ya mvurugo;+Nao wameipotosha Misri katika kila jambo inalofanya,Kama mlevi anavyogaagaa kwenye matapishi yake. Ezekieli 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “‘Lakini nabii akipumbazwa naye atoe ushauri, ni mimi, Yehova, ambaye nimempumbaza nabii huyo.+ Ndipo nitakapounyoosha mkono wangu dhidi yake na kumwangamiza kutoka kwa watu wangu Waisraeli.
14 Yehova amemmwagia roho ya mvurugo;+Nao wameipotosha Misri katika kila jambo inalofanya,Kama mlevi anavyogaagaa kwenye matapishi yake.
9 “‘Lakini nabii akipumbazwa naye atoe ushauri, ni mimi, Yehova, ambaye nimempumbaza nabii huyo.+ Ndipo nitakapounyoosha mkono wangu dhidi yake na kumwangamiza kutoka kwa watu wangu Waisraeli.