2 Mambo ya Nyakati 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hata hivyo, Asa akamkasirikia mwonaji huyo na kumtia gerezani,* alikasirishwa sana naye kwa sababu ya jambo hilo. Wakati huohuo, Asa akaanza kuwatesa watu wengine. Matendo 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi wakawakamata mitume na kuwafunga katika jela ya watu wote.+
10 Hata hivyo, Asa akamkasirikia mwonaji huyo na kumtia gerezani,* alikasirishwa sana naye kwa sababu ya jambo hilo. Wakati huohuo, Asa akaanza kuwatesa watu wengine.