Kutoka 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Farao alipokaribia, Waisraeli waliinua macho yao na kuwaona Wamisri wakiwafuatia. Waisraeli wakaogopa sana na kuanza kumlilia Yehova.+ 2 Mambo ya Nyakati 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wanaume wa Yuda walipogeuka, waligundua kwamba wanashambuliwa kutoka mbele na nyuma. Kwa hiyo wakaanza kumlilia Yehova,+ huku makuhani wakipiga tarumbeta kwa sauti kubwa.
10 Farao alipokaribia, Waisraeli waliinua macho yao na kuwaona Wamisri wakiwafuatia. Waisraeli wakaogopa sana na kuanza kumlilia Yehova.+
14 Wanaume wa Yuda walipogeuka, waligundua kwamba wanashambuliwa kutoka mbele na nyuma. Kwa hiyo wakaanza kumlilia Yehova,+ huku makuhani wakipiga tarumbeta kwa sauti kubwa.