23Siku nyingi baada ya Yehova kuwapa Waisraeli amani+ kwa kuwaokoa kutoka kwa maadui wote waliowazunguka, Yoshua alipokuwa amezeeka na umri wake kusonga sana,+
15 Na watu wote wa Yuda wakashangilia kwa sababu ya kiapo hicho, kwa maana walikuwa wameapa kwa moyo wao wote, walimtafuta kwa bidii naye akawaruhusu wampate,+ na Yehova akaendelea kuwapumzisha pande zote.+