10Ndipo Samweli akachukua chupa ya mafuta na kuyamimina juu ya kichwa cha Sauli.+ Akambusu na kusema: “Yehova amekutia mafuta uwe kiongozi+ juu ya urithi wake.+
24 Samweli akawaambia watu wote: “Je, mnamwona yule ambaye Yehova amemchagua,+ kwamba hakuna yeyote aliye kama yeye kati ya watu wote?” Basi watu wote wakaanza kupiga kelele wakisema: “Mfalme na aishi muda mrefu!”