Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 15:34, 35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Aliendelea kutenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, kama alivyofanya Uzia baba yake.+ 35 Hata hivyo, mahali pa juu hapakuondolewa, na watu bado walikuwa wakitoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu mahali pa juu.+ Yeye ndiye aliyejenga lango la juu la nyumba ya Yehova.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 26:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Uzia+ alikuwa na umri wa miaka 16 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 52 huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Yekolia wa Yerusalemu.+ 4 Aliendelea kutenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, kama Amazia baba yake alivyotenda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki