34 Aliendelea kutenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, kama alivyofanya Uzia baba yake.+ 35 Hata hivyo, mahali pa juu hapakuondolewa, na watu bado walikuwa wakitoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu mahali pa juu.+ Yeye ndiye aliyejenga lango la juu la nyumba ya Yehova.+