Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 25:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 “‘Ikiwa ndugu yako anayeishi karibu nawe amelazimika kujiuza kwako+ kwa sababu amekuwa maskini, usimlazimishe akutumikie kama mtumwa.+

  • Mambo ya Walawi 25:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Unaweza kuwarithisha kwa wana wako ili wawe mali yao ya kudumu. Unaweza kuwatumia watumwa hao kama wafanyakazi, lakini usiwatendee ndugu zako Waisraeli kwa ukatili.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini Sulemani hakumfanya Mwisraeli yeyote kuwa mtumwa wake,+ kwa sababu walikuwa mashujaa wake, wakuu wa makamanda wake wasaidizi, na wakuu wa waendeshaji wa magari yake ya vita na wapanda farasi wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki