-
1 Mambo ya Nyakati 15:11, 12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Tena, Daudi akawaita makuhani Sadoki+ na Abiathari+ na Walawi Urieli, Asaya, Yoeli, Shemaya, Elieli, na Aminadabu, 12 akawaambia: “Ninyi ndio viongozi wa koo* za Walawi. Jitakaseni, ninyi na ndugu zenu, nanyi mlipandishe Sanduku la Yehova, Mungu wa Israeli mpaka mahali ambapo nimetayarisha kwa ajili yake.
-