29 Mfalme anasema hivi: ‘Msikubali Hezekia awadanganye, kwa maana hawezi kuwaokoa kutoka mikononi mwangu.+ 30 Na msikubali Hezekia awafanye mumtumaini Yehova mkisema: “Kwa hakika Yehova atatuokoa, na jiji hili halitatiwa mikononi mwa mfalme wa Ashuru.”+