- 
	                        
            
            Ezra 8:18, 19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
18 Kwa kuwa mkono mwema wa Mungu wetu ulikuwa juu yetu, walituletea mwanamume mwenye busara kutoka kwa wana wa Mali+ mjukuu wa Lawi mwana wa Israeli, aliyeitwa Sherebia,+ na wanawe na ndugu zake, wanaume 18; 19 na Hashabia, na pamoja naye Yeshaya kutoka kwa Wamerari,+ ndugu zake na wana wao, wanaume 20.
 
 -