-
Ezra 8:18, 19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Kwa kuwa mkono mwema wa Mungu wetu ulikuwa juu yetu, walituletea mwanamume mwenye busara kutoka kwa wana wa Mali+ mjukuu wa Lawi mwana wa Israeli, aliyeitwa Sherebia,+ na wanawe na ndugu zake, wanaume 18; 19 na Hashabia, na pamoja naye Yeshaya kutoka kwa Wamerari,+ ndugu zake na wana wao, wanaume 20.
-