1 Mambo ya Nyakati 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi, na watumishi wa hekaluni*+ walikuwa wakaaji wa kwanza kurudi katika miliki yao kwenye majiji yao. Ezra 8:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na kulikuwa na watumishi wa hekaluni* 220, ambao Daudi na wakuu walikuwa wamewatoa kwa ajili ya utumishi wa Walawi, wote walikuwa wametajwa kwa majina.
2 Baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi, na watumishi wa hekaluni*+ walikuwa wakaaji wa kwanza kurudi katika miliki yao kwenye majiji yao.
20 Na kulikuwa na watumishi wa hekaluni* 220, ambao Daudi na wakuu walikuwa wamewatoa kwa ajili ya utumishi wa Walawi, wote walikuwa wametajwa kwa majina.