-
Ezra 1:5, 6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Ndipo viongozi wa ukoo* wa Yuda na Benjamini na makuhani na Walawi—kila mmoja ambaye roho yake ilichochewa na Mungu wa kweli—wakajitayarisha kupanda kwenda kujenga upya nyumba ya Yehova, iliyokuwa Yerusalemu. 6 Wale wote waliowazunguka wakawasaidia kwa kuwapa* vyombo vya fedha na dhahabu, mali, wanyama wa kufugwa, na vitu vyenye thamani, mbali na matoleo yote ya hiari.
-