Ezra 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndipo Tatenai gavana wa eneo lililo Ng’ambo ya Mto, Shethar-bozenai,+ na wenzao, wakatekeleza bila kukawia kila jambo ambalo Mfalme Dario alikuwa ameagiza.
13 Ndipo Tatenai gavana wa eneo lililo Ng’ambo ya Mto, Shethar-bozenai,+ na wenzao, wakatekeleza bila kukawia kila jambo ambalo Mfalme Dario alikuwa ameagiza.