1 Mambo ya Nyakati 9:17, 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Walinzi wa malango+ walikuwa Shalumu, Akubu, Talmoni, Ahimani, na ndugu yao Shalumu alikuwa kiongozi, 18 na kufikia wakati huo alikuwa katika lango la mfalme upande wa mashariki.+ Hao walikuwa walinzi wa malango wa kambi za Walawi.
17 Walinzi wa malango+ walikuwa Shalumu, Akubu, Talmoni, Ahimani, na ndugu yao Shalumu alikuwa kiongozi, 18 na kufikia wakati huo alikuwa katika lango la mfalme upande wa mashariki.+ Hao walikuwa walinzi wa malango wa kambi za Walawi.