-
Nehemia 2:17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Hatimaye nikawaambia: “Mnaona hali mbaya sana tunayokabili, jinsi Yerusalemu lilivyobaki magofu na malango yake yameteketezwa kwa moto. Njooni, tujenge upya kuta za Yerusalemu, ili aibu hii isiendelee.”
-
-
Danieli 9:25Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 Unapaswa kujua na kuelewa kwamba tangu kutolewa kwa lile neno la kurudisha na kujenga upya Yerusalemu+ mpaka atakapotokea Masihi*+ aliye Kiongozi,+ kutakuwa na majuma 7, na pia majuma 62.+ Yerusalemu litarudishwa na kujengwa upya, pamoja na uwanja wa jiji na handaki, lakini katika nyakati za taabu.
-