Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Hatimaye nikawaambia: “Mnaona hali mbaya sana tunayokabili, jinsi Yerusalemu lilivyobaki magofu na malango yake yameteketezwa kwa moto. Njooni, tujenge upya kuta za Yerusalemu, ili aibu hii isiendelee.”

  • Nehemia 6:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Mwishowe ukuta ulikamilishwa katika siku ya 25 ya mwezi wa Eluli,* kwa muda wa siku 52.

  • Danieli 9:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Unapaswa kujua na kuelewa kwamba tangu kutolewa kwa lile neno la kurudisha na kujenga upya Yerusalemu+ mpaka atakapotokea Masihi*+ aliye Kiongozi,+ kutakuwa na majuma 7, na pia majuma 62.+ Yerusalemu litarudishwa na kujengwa upya, pamoja na uwanja wa jiji na handaki, lakini katika nyakati za taabu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki