Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 25:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Kwa maana wao ni watumwa wangu niliowatoa nchini Misri.+ Hawapaswi kujiuza kama mtumwa anavyouzwa.

  • Kumbukumbu la Torati 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kumbuka kwamba ulikuwa mtumwa nchini Misri, na mimi Yehova Mungu wako nikakutoa huko kwa mkono wenye nguvu na mkono ulionyooshwa.+ Ndiyo sababu mimi Yehova Mungu wako nilikuamuru uishike siku ya Sabato.

  • Kumbukumbu la Torati 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nikaanza kutoa dua kwa Yehova na kusema, ‘Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, usiwaangamize watu hawa. Wao ni mali yako binafsi,*+ watu uliowakomboa kwa ukuu wako na kuwatoa Misri kwa mkono wenye nguvu.+

  • Kumbukumbu la Torati 9:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kwa maana ni watu wako na mali yako binafsi,*+ watu uliowatoa kwa nguvu zako kuu na kwa mkono wako ulionyooshwa.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki