8 pia barua nimpelekee Asafu mtunzaji wa Bustani ya Mfalme, ili anipe mbao za kujengea mihimili ya malango ya Ngome+ ya ile Nyumba na kuta za jiji+ na nyumba nitakayoishi.” Basi mfalme akanipa barua hizo,+ kwa sababu mkono mwema wa Mungu wangu ulikuwa juu yangu.+