9Waisraeli wote waliandikishwa kulingana na ukoo wao, na koo hizo zimeandikwa katika Kitabu cha Wafalme wa Israeli. Na watu wa Yuda walipelekwa uhamishoni kule Babiloni kwa sababu hawakuwa waaminifu.+
59 Na hawa ndio waliopanda kutoka Tel-mela, Tel-harsha, Kerubi, Adoni, na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kama ukoo wao* na asili yao ilikuwa ya Waisraeli:+