Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Waisraeli wote waliandikishwa kulingana na ukoo wao, na koo hizo zimeandikwa katika Kitabu cha Wafalme wa Israeli. Na watu wa Yuda walipelekwa uhamishoni kule Babiloni kwa sababu hawakuwa waaminifu.+

  • Ezra 2:59
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 59 Na hawa ndio waliopanda kutoka Tel-mela, Tel-harsha, Kerubi, Adoni, na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kama ukoo wao* na asili yao ilikuwa ya Waisraeli:+

  • Ezra 2:62
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 62 Hao walichunguza kumbukumbu zao ili wathibitishe ukoo wao, lakini hawakupata majina ya koo zao, kwa hiyo hawakustahili kuwa makuhani.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki