1 Mambo ya Nyakati 24:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Daudi, pamoja na Sadoki+ kutoka kwa wana wa Eleazari na Ahimeleki kutoka kwa wana wa Ithamari, waliwagawa katika vikundi kulingana na mpangilio wao wa utumishi. 1 Mambo ya Nyakati 24:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 ya saba Hakozi, ya nane Abiya,+ Nehemia 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Meremothi+ mwana wa Uriya mwana wa Hakozi alirekebisha sehemu nyingine, kuanzia lango la nyumba ya Eliashibu mpaka mwisho wa nyumba ya Eliashibu.
3 Daudi, pamoja na Sadoki+ kutoka kwa wana wa Eleazari na Ahimeleki kutoka kwa wana wa Ithamari, waliwagawa katika vikundi kulingana na mpangilio wao wa utumishi.
21 Meremothi+ mwana wa Uriya mwana wa Hakozi alirekebisha sehemu nyingine, kuanzia lango la nyumba ya Eliashibu mpaka mwisho wa nyumba ya Eliashibu.