Luka 24:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Naye akawafafanulia kuanzia Musa na Manabii wote,+ mambo yote ambayo Maandiko yalisema kumhusu. Matendo 8:30, 31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Filipo akakimbia kandokando na kumsikia akimsoma kwa sauti kubwa nabii Isaya, akamuuliza: “Je, kweli unajua* unayosoma?” 31 Akajibu: “Kwa kweli, ninawezaje kuyaelewa mtu fulani asiponiongoza?” Basi akamsihi Filipo apande aketi pamoja naye.
30 Filipo akakimbia kandokando na kumsikia akimsoma kwa sauti kubwa nabii Isaya, akamuuliza: “Je, kweli unajua* unayosoma?” 31 Akajibu: “Kwa kweli, ninawezaje kuyaelewa mtu fulani asiponiongoza?” Basi akamsihi Filipo apande aketi pamoja naye.