2 Wafalme 21:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Manase mfalme wa Yuda amefanya mambo haya yote yenye kuchukiza; ametenda mambo maovu zaidi kuliko Waamori wote+ waliomtangulia,+ naye amesababisha watu wa Yuda watende dhambi kwa sanamu zake zenye kuchukiza.* Zaburi 106:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Waliendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+Damu ya wana wao na mabinti wao wenyeweAmbao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+ Na nchi ikachafuliwa kwa umwagaji wa damu.
11 “Manase mfalme wa Yuda amefanya mambo haya yote yenye kuchukiza; ametenda mambo maovu zaidi kuliko Waamori wote+ waliomtangulia,+ naye amesababisha watu wa Yuda watende dhambi kwa sanamu zake zenye kuchukiza.*
38 Waliendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+Damu ya wana wao na mabinti wao wenyeweAmbao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+ Na nchi ikachafuliwa kwa umwagaji wa damu.