Yeremia 52:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Katika mwaka wa 23 wa utawala wa Nebukadneza,* Nebuzaradani mkuu wa walinzi aliwapeleka Wayahudi uhamishoni, watu 745.+ Jumla ya watu 4,600 walipelekwa uhamishoni.
30 Katika mwaka wa 23 wa utawala wa Nebukadneza,* Nebuzaradani mkuu wa walinzi aliwapeleka Wayahudi uhamishoni, watu 745.+ Jumla ya watu 4,600 walipelekwa uhamishoni.