1 Mambo ya Nyakati 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi, na watumishi wa hekaluni*+ walikuwa wakaaji wa kwanza kurudi katika miliki yao kwenye majiji yao. 1 Mambo ya Nyakati 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na kutoka kwa Walawi, kulikuwa na Shemaya+ mwana wa Hashubu mwana wa Azrikamu mwana wa Hashabia kutoka kwa wazao wa Merari;
2 Baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi, na watumishi wa hekaluni*+ walikuwa wakaaji wa kwanza kurudi katika miliki yao kwenye majiji yao.
14 Na kutoka kwa Walawi, kulikuwa na Shemaya+ mwana wa Hashubu mwana wa Azrikamu mwana wa Hashabia kutoka kwa wazao wa Merari;