Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kisha akawaweka baadhi ya Walawi wahudumu mbele ya Sanduku la Yehova,+ wamheshimu,* wamshukuru, na kumsifu Yehova Mungu wa Israeli.

  • 1 Mambo ya Nyakati 23:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Jukumu lao lilikuwa kuwasaidia wana wa Haruni+ katika utumishi wa nyumba ya Yehova, kusimamia nyua,+ vyumba vya kulia chakula, kukitakasa kila kitu kitakatifu, na kazi yoyote iliyohitaji kufanywa katika utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli.

  • 1 Mambo ya Nyakati 23:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Walipaswa kusimama asubuhi baada ya asubuhi+ ili kumshukuru na kumsifu Yehova, na walipaswa kufanya hivyo jioni pia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki