1 Mambo ya Nyakati 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kisha akawaweka baadhi ya Walawi wahudumu mbele ya Sanduku la Yehova,+ wamheshimu,* wamshukuru, na kumsifu Yehova Mungu wa Israeli. 1 Mambo ya Nyakati 23:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Jukumu lao lilikuwa kuwasaidia wana wa Haruni+ katika utumishi wa nyumba ya Yehova, kusimamia nyua,+ vyumba vya kulia chakula, kukitakasa kila kitu kitakatifu, na kazi yoyote iliyohitaji kufanywa katika utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli. 1 Mambo ya Nyakati 23:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Walipaswa kusimama asubuhi baada ya asubuhi+ ili kumshukuru na kumsifu Yehova, na walipaswa kufanya hivyo jioni pia.+
4 Kisha akawaweka baadhi ya Walawi wahudumu mbele ya Sanduku la Yehova,+ wamheshimu,* wamshukuru, na kumsifu Yehova Mungu wa Israeli.
28 Jukumu lao lilikuwa kuwasaidia wana wa Haruni+ katika utumishi wa nyumba ya Yehova, kusimamia nyua,+ vyumba vya kulia chakula, kukitakasa kila kitu kitakatifu, na kazi yoyote iliyohitaji kufanywa katika utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli.
30 Walipaswa kusimama asubuhi baada ya asubuhi+ ili kumshukuru na kumsifu Yehova, na walipaswa kufanya hivyo jioni pia.+