Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 2:54
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 54 Wana wa Salma walikuwa Bethlehemu,+ Wanetofa, Atroth-beth-yoabu, na nusu ya Wamanahathi, na Wazori.

  • 1 Mambo ya Nyakati 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi, na watumishi wa hekaluni*+ walikuwa wakaaji wa kwanza kurudi katika miliki yao kwenye majiji yao.

  • 1 Mambo ya Nyakati 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Obadia mwana wa Shemaya mwana wa Galali mwana wa Yeduthuni, na Berekia mwana wa Asa mwana wa Elkana, aliyekuwa akiishi katika vijiji vya Wanetofa.+

  • Nehemia 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hawa ndio watu wa mkoa* waliopanda kutoka utekwani huko uhamishoni, ambao Mfalme Nebukadneza+ wa Babiloni alikuwa amewapeleka uhamishoni+ na ambao baadaye walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye jiji lake,+

  • Nehemia 7:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 wanaume wa Bethlehemu na Netofa, 188;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki