14 Kisha nikapita kuelekea kwenye Lango la Chemchemi+ na kuelekea kwenye Kidimbwi cha Mfalme, lakini mnyama aliyenibeba hangeweza kupita kwa sababu hapakuwa na nafasi ya kutosha.
37 Kwenye Lango la Chemchemi+ walipanda moja kwa moja Ngazi+ ya Jiji la Daudi+ kupitia njia inayopanda kwenye ukuta juu ya Nyumba ya Daudi mpaka kwenye Lango la Maji+ upande wa mashariki.