2 Mambo ya Nyakati 26:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Isitoshe, Uzia alijenga minara+ Yerusalemu karibu na Lango la Pembeni,+ Lango la Bondeni,+ na Nguzo ya Kutegemeza Ukuta, naye akaiimarisha. Nehemia 3:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Baada yake Binui mwana wa Henadadi akarekebisha sehemu nyingine, kuanzia nyumba ya Azaria mpaka kwenye Nguzo ya Kutegemeza Ukuta+ na mpaka pembeni.
9 Isitoshe, Uzia alijenga minara+ Yerusalemu karibu na Lango la Pembeni,+ Lango la Bondeni,+ na Nguzo ya Kutegemeza Ukuta, naye akaiimarisha.
24 Baada yake Binui mwana wa Henadadi akarekebisha sehemu nyingine, kuanzia nyumba ya Azaria mpaka kwenye Nguzo ya Kutegemeza Ukuta+ na mpaka pembeni.