Zaburi 88:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 88 Ee Yehova, Mungu wa wokovu wangu,+Wakati wa mchana ninalia kwa sauti,Na usiku ninakuja mbele zako.+ Luka 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hakika, je, Mungu hatawatendea haki watu wake waliochaguliwa ambao wanamlilia mchana na usiku,+ huku akiwaonyesha subira?+
88 Ee Yehova, Mungu wa wokovu wangu,+Wakati wa mchana ninalia kwa sauti,Na usiku ninakuja mbele zako.+
7 Kwa hakika, je, Mungu hatawatendea haki watu wake waliochaguliwa ambao wanamlilia mchana na usiku,+ huku akiwaonyesha subira?+