Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Esta 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mfalme akipenda, amri ya kuwaangamiza Wayahudi na iandikwe. Nitawapa maofisa talanta 10,000 za fedha* ili waziweke katika hazina ya mfalme.”*

  • Esta 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana tumeuzwa,+ mimi na watu wangu, tuangamizwe, tuuawe, na kufutiliwa mbali.+ Kama tungeuzwa tuwe watumwa wa kiume na wa kike, ningekaa kimya. Lakini msiba huu haufai, kwa sababu utamletea mfalme hasara.”

  • Esta 9:24, 25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana Hamani+ mwana wa Hamedatha Mwagagi,+ adui ya Wayahudi wote, alikuwa amepanga njama ya kuwaangamiza Wayahudi,+ na alikuwa amepiga Puri,+ yaani, Kura, ili kuwatisha na kuwaangamiza. 25 Lakini Esta alipokuja mbele ya mfalme, mfalme alitoa agizo lililoandikwa hivi:+ “Njama yake mbaya dhidi ya Wayahudi+ na irudi juu ya kichwa chake mwenyewe”; nao wakamtundika yeye pamoja na wanawe mtini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki