Esta 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Alikuwa mlezi* wa Hadasa,* yaani, Esta binti ya ndugu ya baba yake,+ kwa maana Esta hakuwa na baba wala mama. Msichana huyo alikuwa mrembo na mwenye umbo zuri, na baba na mama yake walipokufa, Mordekai alimchukua na kumlea kama binti yake.
7 Alikuwa mlezi* wa Hadasa,* yaani, Esta binti ya ndugu ya baba yake,+ kwa maana Esta hakuwa na baba wala mama. Msichana huyo alikuwa mrembo na mwenye umbo zuri, na baba na mama yake walipokufa, Mordekai alimchukua na kumlea kama binti yake.