Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 43:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa hiyo Israeli baba yao akawaambia: “Ikiwa ni lazima iwe hivyo, basi fanyeni hivi: Bebeni katika mifuko yenu vitu bora zaidi vya nchi yetu mkampelekee mtu huyo zawadi:+ zeri+ kidogo, asali kidogo, labdanamu, magome yenye utomvu,+ kungu, na lozi.

  • 1 Wafalme 10:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Alifika Yerusalemu na msafara wenye kuvutia sana,+ pamoja na ngamia waliobeba mafuta ya zeri+ na dhahabu nyingi sana na mawe yenye thamani. Akafika mbele ya Sulemani na kumwambia mambo yote yaliyokuwa moyoni mwake.

  • 2 Wafalme 20:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hezekia akawakaribisha* na kuwaonyesha nyumba yake yote yenye hazina+—fedha, dhahabu, mafuta ya zeri na mafuta mengine yenye thamani, ghala lake la silaha, na kila kitu kilichokuwa katika hazina zake. Hakuna kitu chochote ambacho Hezekia hakuwaonyesha katika nyumba yake mwenyewe* na katika milki yake yote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki