5 Kulikuwa na mwanamume fulani Myahudi aliyeishi katika ngome ya* Shushani;*+ aliitwa Mordekai+ mwana wa Yairi mwana wa Shimei mwana wa Kishi, Mbenjamini,+
7 Alikuwa mlezi* wa Hadasa,* yaani, Esta binti ya ndugu ya baba yake,+ kwa maana Esta hakuwa na baba wala mama. Msichana huyo alikuwa mrembo na mwenye umbo zuri, na baba na mama yake walipokufa, Mordekai alimchukua na kumlea kama binti yake.