Ufunuo 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nikasikia sauti kubwa mbinguni ikisema: “Sasa kumekuwa na wokovu+ na nguvu na Ufalme wa Mungu wetu+ na mamlaka ya Kristo wake, kwa sababu mshtaki wa ndugu zetu ametupwa chini, anayewashtaki mchana na usiku mbele za Mungu wetu!+
10 Nikasikia sauti kubwa mbinguni ikisema: “Sasa kumekuwa na wokovu+ na nguvu na Ufalme wa Mungu wetu+ na mamlaka ya Kristo wake, kwa sababu mshtaki wa ndugu zetu ametupwa chini, anayewashtaki mchana na usiku mbele za Mungu wetu!+