Ayubu 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kama wingu linalofifia na kutoweka,Mtu anayeshuka chini Kaburini* harudi juu tena.+ Zaburi 115:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Watu waliokufa hawamsifu Yah;+Wala yeyote anayeshuka kwenye ukimya wa kifo.*+ Isaya 38:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nilisema: “Sitamwona Yah,* Yah katika nchi ya walio hai.+ Sitawaona tena wanadamuNitakapokuwa pamoja na wakaaji wa mahali ambapo kila kitu hukoma.
11 Nilisema: “Sitamwona Yah,* Yah katika nchi ya walio hai.+ Sitawaona tena wanadamuNitakapokuwa pamoja na wakaaji wa mahali ambapo kila kitu hukoma.